Meneja wa Bia ya Serengeti Rugambo Rodney (katikati) akiongea
na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi wa droo ya winda safari ya 
Brazil na Serengeti iliyofanyika kiwandani Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni 
ofisa kutoka PWC Bi Golder Kamuzora (Kulia) na afisa mkaguzi kutoka bodi ya 
michezo ya kubahatisha Bw. Humudi Abdulhussein (Kushoto)
Meneja wa Bia Serengeti Rugambo Rodney (kulia) akiongea na
mmoja wa washindi wa droo ya 10 ya winda safari ya Brazil kwa njia ya simu 
huku akishuhudiwa na mkaguzi kutoka Bodi ya michezo ya kubahatisha Bw Humudi 
Abdulhussein (kuhoto), wakati wa kuchezesha droo ya 10 ya winda safari ya 
Brazil na Serengeti iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...