Taasisi ya faridas foundation imezindua mradi mpya utakaojulikana kwa jina la Tanzania Development Projects for Unemployed Graduates (TADEPUGRA) lengo likiwa ni kufungua milango kwa wahitimu wa ngazi mbali mbali wasio na ajira hapa nchini, Mradi huu utanufaisha vijana zaidi ya 100 ikiwa ni kuwaajiri ndani ya taasisi na kuwawezesha kuanzisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo, pia itatoa tuzo kwa waandishi mahiri 10 watakaoshinda kuandika muswaada (proposal) wa miradi ya kijamii. 

Form za kujiunga zinapatikana faridas shop akachube road, kijitonyama Dar es salaam, vilevile unaweza kuomba utumiwe kwenye email yako tukakutumia na pia katika tovuti yetu www.faridasfoundation.org Malipo ya hizo form ni sh 5000/= tu yafanyike katika account ya taasisi faridas foundation limited 0150259122000 katika tawi lolote la CRDB au katika duka hilo na hakikisha unapatiwa risiti. 

Semina na uwasilishaji wa form utafanyika tar 5 na 6 May,2014 katika ukumbi wa Urafiki social hall, Urafiki shekilango dar es salaam , kuanzia saa  2 asubuhi mpaka saa 12 jioni, fomu zisizo na risiti au stakabadhi ya benki haitohesabika na mwasilishaji hatoruhusiwa kuhudhuria semina hyo. 

Hakikisha umeambatanisha nakala kivuli cha vyeti vyote.
Kwa mawasiliano zaidi..
Simu #
+255737218069,
+255713555066,
+255715921008,
+25573721008,
+255656676441, na
+255715186262. au emails:
faridasfoundation@gmail.com
h.lumamy@gmail.com
Asanteni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...