Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam Saidi Meck Sadiki akisalimiana na wachezaji wa timu za Ilala wakati akizindua
rasmi mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es Salaam
jana.
Mshambuliaji wa timu ya
Ilala, Rashid Mohamed (kulia) akimtoka beki wa timu ya Buguruni Youth Center, Khamis
Mohamed katika mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es
Salaam jana.
Mshambuliaji wa timu ya
Ilala, Edwin Francis (kushoto) akituliza mpira mbele ya beki wa timu ya Buguruni Youth Center, Salum
Abdallah katika mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es
Salaam jana.
Mshambuliaji wa timu ya
Ilala, Rajabu Ally (kushoto) akimtoka beki wa timu ya Buguruni Youth Center, Hassan
Omari katika mashindano ya vijana ya
Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es Salaam jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...