Mwakilishi wa Jimbo la Uzini (CCM) Mohamedraza Hassanal (kulia) akizungumza na Waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace mjini Zanzibar.
Katika mazungumzo yake alisema ni Vyema Bunge la Katiba likaahirishwa ili kutoa fursa zaidi Watu wajihusishe na harakati za Uchaguzi Mkuu wa 2015 na Kupatikane Wasaa mpana wa kujadiliana kwa dhamira ya dhati ya kupata Katiba Bora inayoridhiwa na upande wa Bara na Visiwani.
Home
Unlabelled
RAZA ATOA YA MOYONI KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
'KATIKA MPYA' NDIYO NINI ANKAL?
ReplyDeleteMtajustfy vipi mabilioni ya pesa za walipa kodi yalioteketea mpaka kufikia sasa.Shida kubwa ni kwamba hoja hii muhimu imemezwa na ubinafsi wa vyama na kama hakutakuwa na maridhiano sasa hakuna guarantee maridhiano hayo yatapatikana baada ya uchaguzi.Ni vp wameshindwa kutumia effectively kipindi ambacho bunge hililikuwa limeahirishwa?
ReplyDelete