Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Omari Issa akizungumza wakati wa kikao kilichowakutanisha watendaji waandamizi wa wizara na taasisi mbalimbali zinazotekeleza Mpango huo.
Mkurugenzi wa Ukusanyaji Mapato na Sekta za Kiuchumi katika PDB, Bw. Lawrence Mafuru akizungumza wakati wa semina ya kutathmini utekelezaji wa BRN iliyohusisha watendaji waandamizi wa wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na utekelezaji wa BRN.
Baadhi ya watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali wakifuatilia mada zilizokuwa zimetolewa wakati wa semina ya kutathmini utekelezaji wa BRN iliyohusisha watendaji waandamizi wa wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na utekelezaji wa BRN. (Picha zote na Idara ya Mawasiliano PDB).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...