Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia
Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Omari Issa akizungumza wakati wa kikao
kilichowakutanisha watendaji waandamizi wa wizara na taasisi mbalimbali zinazotekeleza
Mpango huo.
Mkurugenzi wa Ukusanyaji Mapato na Sekta za Kiuchumi katika PDB, Bw. Lawrence
Mafuru akizungumza wakati wa semina ya kutathmini utekelezaji wa BRN iliyohusisha
watendaji waandamizi wa wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na utekelezaji wa BRN.
Baadhi ya watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali wakifuatilia mada zilizokuwa zimetolewa wakati wa semina ya kutathmini utekelezaji wa BRN iliyohusisha watendaji waandamizi wa wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na utekelezaji wa BRN. (Picha zote na Idara ya Mawasiliano PDB).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...