Mkurugenzi Mtendaji
wa SOS Children Tanzania, Anatory Rugaikamu (katikati) akiongea na
waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Serena wakati wa Uzinduzi wa
Kampeni ya Kuchangisha Pesa kwaajili ya Kuwasaidia Watoto wanaoishi
kwenye mazingira magumu, Kampeni hiyo inafanywa na SOS Children kwa
kushirikiana na Kampuni ya Montage Ltd.
Mkurugenzi Mtendaji
wa Kampuni ya Montage Ltd, Bi Teddy Mapunda akiongea na waandishi wa
habari (hawapo pichani) leo wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Kuchangisha
fedhaa kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu.
Kampeni hiyo inafanywa na SOS Children kwa kushirikiana na Kampuni ya
Montage Ltd.
Baadhi ya waandishi wa Habari wakiwa Katika mkutano huo uliofanyika katika hotel ya Serena mapema leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...