Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akikata utepe
kuzindua msaada wa vyoo na mfumo wa maji safi kwenye shule ya Msingi
Kipampa, Kigoma. Wa kwanza kulia ni Meneja wa Benki ya Posta Tawi la
Kigoma, Fidelis Ndahani
Naibu Mstahiki Meya wa Kigoma, Mh. Ruhomvya Rashid Ruhomvya,
akisikiliza hotuba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Sabasaba Moshingi, wakati wa sherehe ya makabidhiano ya msaada wa
Vyoo na mfumo wa maji kwenye shule ya Msingi Kipampa. Wengine kutoka
kulia ni Meneja Mahusiano wa TPB, Noves Moses na Meneja wa TPB, Tawi la
Kigoma, Fidelis Ndahani
Naibu
Mstahiki Meya wa Kigoma, Mh. Ruhomvya Rashid Ruhomvya akifungua bomba
la maji kwenye mojawapo wa vyoo vilivyokarabatiwa na Benki ya Posta
kwenye Shule ya Msingi Kipampa, Kigoma. Wanaotazama ni Afisa Mtendaji
Mkuu wa TPB Sabasaba Moshingi Mkuu wa shule ya Kipampa.
Ofisi Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Kipampa baada ya
kuwakabidhi vyoo vipya pamoja na mfumo wa maji safi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...