Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania ,Kelvin Twissa akitoa mada juu ya huduma zinazotolewa na kampuni yake wakati wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati hapo jana. Warsha hiyo iliandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom.Kushoto ni muongozaji  wa mada Felix Mlaki  na Katikati ni Mtaalamu toka Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)Moreme Marwa. 
 Mmoja wa washiriki wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusiana na njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati iliyoandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania, akisoma moja ya jarida la Vodacom  wakati wa warsha hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam hapo jana. 
Baadhi ya washiriki wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha na kupanua huduma za kifedha kwa biashara ndogo na za kati iliyoandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania,wakifuatilia mada kwa makini  zilizokuwa zikitolewa  wakati wa  warsha hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam hapo jana. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...