Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens, akizungumza wakati wa semina kuhusu utengenezaji wa bora wa matofali waliyowaandalia watengeneza matofali na wasambazaji wao jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Meneja Undelezaji Biashara wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Danford Semwenda, akitoa mada wakati wa semina kuhusu utengenezaji wa bora wa matofali waliyowaandalia watengeneza matofali na wasambazaji wao jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Meneja Afya, Usalama na ulinzi wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Alfred Anthony akizungumza wakati wa semina hiyo.
Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Tumaini Joseph akizungumza wakati wa semina hiyo waliyowaandalia watengeneza matofali na wasambazaji wao jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Ofisa mahusiano na Huduma kwa Weteja wa Kampuni ya Twiga Cement (TPCC), Martha Haule (kushoto) akizungumza katika semina hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mmoja wa washiriki wa semina kuhusu utengenezaji bora wa matofali, Mary Kimaro (kulia) akipokea cheti kutoka kwa  Meneja Uendelezaji wa Biashara wa Kampuni ya Twiga Cement (TPCC), Danford Semwenda mara baada ya kumalizika kwa semina hiyo iliyoandaliwa na TPCC jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja  Afya, Usalama na Ulinzi wa kampuni hiyo, Alfred Anthony.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...