Kampuni
ya SimbaNET (T) Linited ya jijini Dar es Salaam Jumamosi hii iliandaa
bonanza la michezo lililowakutanisha pamoja wafanyakazi wa kampuni hiyo
na familia zao. Siku hiyo ilikuwa ni ya kula kunywa na kuchezo michezo
ya aina mbalimbali ikiwepo soka, kuvutana kamba, kuogelea, muziki na
michezo mbalimbali ya watoto. Kampuni ya Seree ndio walikuwa waandaaji
wa tafrija hiyo iliyofanyika kwa mafanikio makubwa katika ufukwe wa
Hoteli ya Bahai Beach.
wafanyakazi na familia zao wakichukua kifuangua kinywa mara baada ya kuwasili bahari Beach Hotel.HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...