Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Seif Ali Iddi akimuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdullah Juma Abdullah kuchukuwa hatua ya kuyapeleka TRA Makontena yote yaliyoshindwa kufuata tataribu ambayo yanaleta msongamano ndani ya Bandari hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdullah Juma Abdullah akimkaguza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif baadhi ya maeneo yaliyowekwa makontena ndani ya Bandari hiyo. Balozi Seif alifanya ziara ya ghafla ndani ya Bandari hiyo ili kujionea hali halisi ya utendaji wa bandari ya Malindi,Zanzibar.
Mrundikano mkubwa wa makontena unaoonekana katika Bandari ya Malindi ambapo baadhi ya wafanyabiashara wanashindwa kutoa makontena yao na kuleta usumbufu kwa watendaji wa Bandari hiyo.Picha na – OMPR – ZNZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Njia nyingine ya kupunguza msongamano bandarini ni kutenga maeneo mengine ya hifadhi za mizigo mjini nje ya bandari.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...