Kaimu
Mkuu wa Chuo Mzumbe Prof. Josephat Itika akizungumza katika hafla ya
kikundi cha wahitimu wa chuo cha Mzumbe waliomaliza masomo katika
kipindi kati ya mwaka 1992 na mwaka 1996 iliyofanyika jijini Dar es
Salaam.
Wahitimu
wa chuo cha Mzumbe waliomaliza masomo katika kipindi kati ya mwaka 1992
na mwaka 1996 wakimsikiliza Prof. Josephat Itika wakati wa hafla hiyo
iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Wana kamati waliondaliwa kwaajili ya kufungua shampeni wakati wa hafla hiyo.
Naibu
Makamu Mkuu wa Chuo cha Mzumbe Prof.Faustin Kamuzora (kushoto),
akisalimiana na Gerald Mwanilwa ambaye ni Mwenyekiti wa chuo hicho
(katikati) Mwenekiti wa wahitimu hao Bw. Emmanuel Ngallah, na wakwanza
kulia Mweka Hazina wa kikundi hicho Bi. Jane Mwakalebela.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...