Bi Harusi mtarajiwa Asna Muazini akiwa katika pozi na tabasam katika Hafla yakuagwa kwake (SEND OFF) iliyofanyika hivi punde katika ukumbi wa DDC Keko jijini Dar es Salaam
Bi Harusi mtarajiwa Asna Muazini akiwa na wapembe wake katika pozi wakati wa Hafla yakuagwa (SEND OFF) iliyofanyika hivi punde katika ukumbi wa DDC Keko Dar es Salaam, kushoto ni Wardat Saidi Juma anaye somea Uwandishi wa Habari huko Zanzibar maeneo ya Vuga na kulia ni Mwanafunzi wa Shule ya Lumumba Zanzibar Mwanahija Suleimani Yusufu.
Wow what a curve in yellow???
ReplyDeleteWow what a curve......
ReplyDelete