Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akielekea viwanja vya Ole Kanambe kwa ajili ya kushiriki sala ya aliyekuwa Sheikh maarufu wa Ole marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku.
 Mamia ya waombolezaji kisiwani Pemba wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa sheikh maarufu wa Ole Kanambe marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, pamoja na waumini wa dini ya Kiislamu Kisiwani Pemba, wakiitikia dua baada ya kuusalia mwili wa  aliyekuwa Sheikh maarufu wa Ole Kanambe, marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiweka udongo kwenye kaburi la aliyekuwa Sheikh maarufu wa Ole marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, pamoja na waumini wa dini ya Kiislamu Kisiwani Pemba, wakiomba dua baada ya kuuzika mwili wa  aliyekuwa Sheikh maarufu wa Ole Kanambe, marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy. (picha na Salmin Said, OMKR)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2015

    mitutu kwenye shughuli hii maana yake nini? Usalama aina hii sioni maana yake. "Nchi yenye amani" ndivyo yatangazwa lakini picha hii inanipa maswali mengi sana. Punzika pema Sheikh Alawy

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...