Mkurugenzi
Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Michezo, Wizara ya Habari, Vijana , Utamaduni na
Michezo Bi Juliana Yassoda akimkabidhi bendera Nahodha wa Timu ya Taifa ya wanawake
ya Mchezo wa Mpira wa Magongo Bi Kidawa Abdallah katika hafla ya kuwaaga wachezaji hao wanaoelekea nchini Afrika Kusini
kwenye mashindano ya mchezo huo yanayotarajiwa
kuanza hivi karibuni. Wa kwanza kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha kutoka Benki ya NMB
Bw. Waziri Barnabas
Afisa Mkuu wa Fedha
kutoka Benki ya NMB Bw. Waziri Barnabas akiongea na wanahabari katika hafla ya kuwaaga wachezaji hao
wanaoelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mashindano ya mchezo huo
yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Picha na Benjamin Sawe
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...