Mkurugenzi
wa Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Samson Majwala
(katikati) na akionyesha Mkuu wa Bidhaa za Rejareja, Sylvester Manyara
wakionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) simu zilizoingia
kwenye kampeni maalum ya Msimu wa Sikukuu ijulikanayo kama “Jiekotishe
na Huawei”, wakati wa uzinduzi wake uliofanyika leo Jijini Dar es
salaam. Kulia Meneja Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Lyidia
Wangari.
Meneja
Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Lyidia Wangari, akifafanua jambo
mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla fupi ya
uzinduzi wa kampeni maalum ya Msimu wa Sikukuu ijulikanayo kama
“Jiekotishe na
Huawei”, wakati wa uzinduzi wake uliofanyika leo Jijini Dar es salaam.
Wengine pichani toka kulia ni Msemaji Mkuu wa Kampuni ya Huawei, Jimmy
Jin, Mkuu wa Bidhaa za Rejareja, Sylvester Manyara pamoja na Mkurugenzi
wa Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Samson Majwala.
Mabalozi wa kampeni ya “Jiekotishe na Huawei” wakilifanyikisha tukio ya Selfie kwa kutumia simu mpya aina ya Huawei P8 lite.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...