Watu kadhaa wamenusirika kifo huku wengine zaidi ya sita wakijeruhiwa vibaya baada ya kontena kuagukia magari katika eneo la Tabata reline jijini Dar es salaam. https://youtu.be/XeX8GC62j3M
Hospitali ya taifa ya Muhimbili inakusudia kuanza huduma za usafishaji na upandikizaji wa figo ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya hospitali hiyo kuipunguzia serikali mzigo wa kusafirisha wagonjwa nje yanchi. https://youtu.be/WrI6eEXE5h4
Mkuu wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita onyo kali kwa walimu wakuu mkoani humo huku akiwataka walimu waliopokea michango kutoka kwa wanafunzi kurudisha fedha hizo mara moja.https://youtu.be/ftkL6pvNti4
CH10:Rais John Magufuli atembelea wodi ya wazazi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili na kujionea adha wanayokumbana nayo wazazi huku akiahidi kutatua changamoto zinazowakabili.http://simu.tv/uELVbnp https://youtu.be/x1N9NvSuxzg
Katika hali ya kusikitisha wafanyabiashara wanaopanga bidhaa barabarani katika maeneo ya kariakoo wadaiwa kumpiga kijana mmoja na kumuua baada ya kudaiwa kukanyaga bidhaa zinazopangwa chini. https://youtu.be/aEvoCeWJT68
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linawashikilia watu 20 kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mifugo wilayani Mvomero.https://youtu.be/_L_m0i9XQro
Meneja wa fedha wa shirika la ndege Tanzania ATCL, Steven Kasubi asimamishwa kazi kwa tuhuma ya ubadhilifu wa fedha za umma;https://youtu.be/cEzy0q8POzI
Baadhi ya wananchi katika Kitongoji cha Mkanyageni A kilichopo kata ya Ruvu wilayani Same mkoani Kilimanjaro waishangaa serikali ya kijiji kwa kuuza eneo wanalotumia kwa ajili ya shughuli za kilimo;https://youtu.be/MZe2MZEy2Ws
Inaripotiwa kuwa zaidi ya nyumba 100 katika kata ya Ilemela mkoani Mwanza zabainika kuunganishiwa umeme kinyemelahttps://youtu.be/KTQiyd_I_pM
Mamlaka ya chakula na dawa TFDA kanda ya kaskazini kwa kushirikiana na jeshi la polisi imefanikiwa kukamata shehena ya vipodozi vinavyotengezwa kinyume na sheria;https://youtu.be/DaXoDWSv7uE
Serikali ya waagiza watendaji wa mpango wa urasimishaji wa rasilimali za wanyonge kushirikiana na taasisi za kibiashara ili kuharakisha zoezi la urasimishaji wa biashara nchini;https://youtu.be/YY0fA0CvsbE
Taasisi za kifedha nchini zaombwa kupeleka huduma za kibenki katika maeneo ya vijijini; https://youtu.be/UWaQZAsmlNw
Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam yabadili safari yake ya kuelekea nchini Mauritius mpaka siku ya Ijumaa; https://youtu.be/-LMIAptlomg
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya soka ya wanawake Twiga Stars, Nasra Mohammed awataka watanzania waisaidie timu hiyo ili ifanye vizuri katika michezo yake kufuzu kuelekea fainali za mataifa ya Afrika kwa wanawake; https://youtu.be/UKjmfv6ov7c
Wafanyakazi wa wizara ya Uwezeshaji Ustawi wa jamii , Vijana , Wanawake na Watoto visiwani Pemba watakiwa kutimiza wajibu wao; https://youtu.be/WdDgMnv8cP0
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein ahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 30 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa mahakama ya watoto; https://youtu.be/HxsadIPRIAs
Wachunguzwe Mawakala wote hata wanaoiuzia Serikali tiketi. Wote mtandao tu!
ReplyDelete