Afisa mauzo wa Airtel Deogratius Gerald (katikati) ,akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa A3 Institute of Technology ,wakati walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka jipya la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam.
 Wanafunzi wa chuo cha A3 Institute of Technology wakiangalia vifaa  na simu mbalimbali vinavyopatikana  katika duka jipya la Airtel Expo walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka jipya la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam.
  Meneja huduma kwa Wateja wa Airtel  Happy John  (kushoto) , akiwakabidhi zawadi wanafunzi wa chuo A3 Institute of Technology walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka jipya la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam akishuhudia na afisa mauzo wa Airtel Tanzania Prosper Mwanda (kulia)
 Wanafunzi wa chuo  cha A3 Institute of Technology wakisikiliza mafunzo kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya simu ya Airtel (hayupo pichani) walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka jipya la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam.
 Afisa mauzo wa Airtel Celine Njuju akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa chuo cha A3 Institute of Technology walipofanya ziara ya kimafunzo katika duka jipya la Airtel Expo katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...