Tungependa leo kusoma risala na kusema jinsi ambavyo umekuwa ukituletea furaha kila wakati lakini wapi leo tarehe 30 April 2016 tukiwa na moyo wa majonzi twashiriki na ndugu, marafiki pamoja na mwanao mpendwa Beno kusema kwaheri ya kuonana.

Kweli ni huzuni kubwa na ni ngumu kuamini kuwa hatutaona tena tabasamu lako na ucheshi wako.

Tulikupenda sana, ila Mwenyezi Mungu amekupenda Zaidi. Bwana ametoa bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe

wana KIFUNGILO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...