Tungependa leo kusoma risala na kusema jinsi ambavyo umekuwa ukituletea furaha kila wakati lakini wapi leo tarehe 30 April 2016 tukiwa na moyo wa majonzi twashiriki na ndugu, marafiki pamoja na mwanao mpendwa Beno kusema kwaheri ya kuonana.
Kweli ni huzuni kubwa na ni ngumu kuamini kuwa hatutaona tena tabasamu lako na ucheshi wako.
Tulikupenda sana, ila Mwenyezi Mungu amekupenda Zaidi. Bwana ametoa bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe
wana KIFUNGILO.
Kweli ni huzuni kubwa na ni ngumu kuamini kuwa hatutaona tena tabasamu lako na ucheshi wako.
Tulikupenda sana, ila Mwenyezi Mungu amekupenda Zaidi. Bwana ametoa bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe
wana KIFUNGILO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...