TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA MWAKA CHAMA CHA WATANZANIA SWEDEN!

BAADA YA MKUTANO TUTAKUWA NA BURUDANI !!!

SIKUYA YA JUMAMOSI TAREHE 30/4!

SAA 12 JIONI.

SEHEMU: Bergshamraskolan , Hjortstigen 1 Solna

VINYWAJI/CHAKULA BEI POA KUTOKA FC-KILIMANJARO!

MGENI RASMI: BALOZI H.E DORA MMARI MSECHU

WOTE MNAKARIBISHWA!

TAFADHALI UPATAPO TAARIFA HII MTAARIFU MWENZIO!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...