TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA MWAKA CHAMA CHA WATANZANIA SWEDEN!
BAADA YA MKUTANO TUTAKUWA NA BURUDANI !!!
SIKUYA YA JUMAMOSI TAREHE 30/4!
SAA 12 JIONI.
SEHEMU: Bergshamraskolan , Hjortstigen 1 Solna
VINYWAJI/CHAKULA BEI POA KUTOKA FC-KILIMANJARO!
MGENI RASMI: BALOZI H.E DORA MMARI MSECHU
WOTE MNAKARIBISHWA!
TAFADHALI UPATAPO TAARIFA HII MTAARIFU MWENZIO!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...