SIMU.TV: Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Prof Makame Mbarawa, amemuagiza wakala wa majengo nchini TBA kuhakikisha anakamilisha majengo yote ya watumishi wa serikali ifikapo Septemba; https://youtu.be/2TAVy68ovCo

SIMU.TV: Naibu waziri Mazingira Mh Luhaga Mpina ametoa agizo la mwezi mmoja kwa NEMC mkoani Mtwara kupima moshi na maji yanaosemekana kusababisha uchafuzi wa maji; https://youtu.be/T7O-FcqFz9s

SIMU.TV: Washiriki wa kongamano la jukwaa la viongozi Afrika wamesema, mapigano yanayoendelea katika baadhi ya nchi za Afrika ndio chanzo cha kukwama kwa shughuli za maendeleo barani humo; https://youtu.be/xgwfhK9la9E
SIMU.TV: Msemaji wa Chama cha Mapinduzi Christopher Olesendeka, amewataka watanzania kutojiingiza katika maandamano yanayoashiria uvunjifu wa amani;https://youtu.be/l1Me_YOIONw

SIMU.TV: Waziri wa nishati na madini amewaonya wakandarasi wanaojenga miradi mbalimbali ya umeme nchini kuwa serikali haitosita kuwafuta wale watakaojenga miundombinu mibovu; https://youtu.be/22bmgTq-sK4

SIMU.TV: Wizara ya viwanda, biashara na uwekezaji imewataka wazalishaji wa bidhaa nchini kuzingatia viwango bora vya kutengeneza bidhaa; https://youtu.be/_ZqhvGxgL8g

SIMU.TV: Chama cha wafanyabiashara wenye viwanda nchini TCCIA, kimewataka wafanyabisahara kujifunza mbinu bora za uzalishaji nchini India;https://youtu.be/xb0gftyzAXI

SIMU.TV: Kampuni ya vinywaji baridi ya Cocacola mkoani Mbeya, imejitolea kuchangia madawati 100 mkoani humo kupunguza tatizo la madawati nchini;https://youtu.be/G1CnO5Y9R20

SIMU.TV: Timu ya soka ya Simba, inatarajia kucheza na timu ya Interclube kutoka nchini Angola katika kilele cha wiki ya samba maarufu kama Simba Day;https://youtu.be/U6COb1hiA_M

SIMU.TV: Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya michezo kwa timu za majeshi ya wananchi kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki mashindano ya majeshi Afrika Mashariki;https://youtu.be/u8NYp-7zofY

SIMU.TV: Timu ya TBC Warriors itaanza mazoezi kujiwinda na mashindano mbalimbali huku wakijinasibu kuibuka na ushindi katika mashindano yote;https://youtu.be/x7jIZWetELc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...