Waliosimama kutokujibu kushoto Mapunda, Hassan Shariff (Mhabeshi), Jaffari Kajembe, Dr Ramadhani Dau, na Kassim Manara. Walioketi kutokujibu kushoto Mohamed Yahaya Tostao, Mohamed Mkweche, Jafari AbdulRahaman, Beda Simtaji na Gordian Mapango. Picha imepigwa jana Ijumaa Juni 22, 2012 katika klabu ya Pan Africa mtaa wa Swahili ikiwa kama kumbukumbu ya mchezaji Kassim Manara nchini baada ya miaka takriban 25 toka aondoke nchini na kwenda kuishi ughaibuni.
Home
Unlabelled
kassim manara akutana na wenzie wa enzi ya yanga wa miaka 25 ilopita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MUNGU AMJALIE DR DAU MAISHA MAREFU NA YENYE AFYA NJEMA.
ReplyDeleteMTU MZITO KAMA YEYE KUWA KARIBU NA WATU WA KAWAIDA KAWA HAWA INAHITAJI KUJIAMBUA KULIKO KAWAIDA .
DR DAU UNASTAHILI KUWA RAIS WA NCHI HII.
MWANA DAR
PICHA HAINA USHIRIKIANO, KUNA AINA NYINGI ZA PICHA KUNA AMBAZO NI ZA MATUKIO MBALIMBALI HAPO MTU ANAPIGA PICHA TOFAUTITOFAUTI LAKINI HII NI PICHA YA KUMBUKUMBU NILITEGEMEA WAPIGWAJI WANGEONYESHA USHIRIKIANO KWA POZI ZURI MAANA HUYU ANASOMA SMS NA HUYU AMEANGALIA HUKU ILIMRADI TU, MICHUZI INGILIA KATI NENDA KAPIGE PICHA MWENYEWE UMPATIE MANARA KWA KUMBUKUMBU NZURI
ReplyDeleteWewe Mdau uleyesema Dr Dau ni mtu mzito na amekaa na watu wa kawaida, acha ugagagigikoko. Dau ni mtoto wa magomeni mapipa. Ndipo alipozaliwa na ndipo alipolelewa na kukulia. Hao unaowaona naye hapo ndiyo ma-homeboys wake kwa hiyo yeye mwenyewe wala hajioni kwamba yeye ni mtu muhimu kuliko wengine.
ReplyDeletepicha nzuri sana ni moja ya kumbukumbu nzuri na ya kujivunia,hongera dr dau
ReplyDeleteNa wewe unaesema Dau ni mtoto wa magomeni Mapipa hujui ulisemalo. Dau kazaliwa Kariakoo (Fire) kakulia hapo na kasoma Aga Khan (Muhimbili) baadae AgaKhan Tambza. Utotoni kachezea Yanga kids na hao unao waona kwenye picha na wengine hawapo hapo akina Pondamali, Adolf richard, Sunday Manara nk.
ReplyDeleteUpanuzi wa barabara ya morogoro road miaka ya mwishoni 1960 nyumba yao ilivunjwa na malipo yao marehemu mzee Dau ndio akajenga nyumba Magomeni Mapipa na ipo mpaka leo hii.
Picha ya kumbu kumbu nzuri, walichotibua ni kukosa nidhamu na mantiki yapicha.Yaani wamekaa kama wamelazimishwa vile, ni wachache tu ambao wamepozi mswano kwa mpiga picha.
ReplyDeleteDr Gangwe Bitozi.
Hii ni kumbukumbu nzuri sana nawakumbuka hawa jamaa walikuwa na vipaji vya kweli japo hawakufika mbali sana kutokana na mfumo wa soka wakati huo.
ReplyDeletenyie mnao complain about pose za wapiga picha mlitaka wa act kama watoto waonyeshe vidole viwili.. peace..ama waonyeshe thumb up...nyie vipi hao ni watu wazima so wamepose kama watu wazima kueni na adabu kwa wanasoka wetu wakongwe
ReplyDeleteAkutendeae Mema Kumshukuru ni Lazima
ReplyDeleteJaza ya mema ni mema
Maovu kutoyatia
Picha zooote za Dr na ma CEO wenzake yuko serious
Akienda klabuni PAN hapo kariakoo inaonekana yuko more at home
Inawezekana kabisa kuwa hao aliokaa nao hawamuudhi ma mastori ya Euro bailouts, sijui mambo ya Private Equity, sijui mambo ya ISSA...la hasha...hapo story ni za SOSPETER OCHIENG kwenye kombe la Gossage 1978. Nashangaa Captain Maliki siuji yuko wapi hapo haonekani
Si kweli Dau si mtoto ma wagomeni mapipa. Dau kazaliwa pale Mwembe Togwa (siku hizi mmepabatiza jina mnapaita FIRE) huko magomeni mie naona alienda tuuu kutembea lakini kwao khaswa ni pale mwembe togwa sasa haya mambo ya kutaka kumlazimisha kuwa kwao ni magomeni nadhani ni kampeni tuu za jamaa wanaotaka wafadhiliwe na ile klabu yao lakini ukweli ni kuwa nasaba yake haswa ni KARIAKOO
ReplyDeletewengine mbona hatujawaona kama Ibrahim kiswabi,Jela mtagwa,Juma pondamali nk. swali la kizushi jengo la PAN AFRICAN LILIKAMILIKA?? Mdau Leicester.
ReplyDeleteNa wewe unayesema Dau katoka kariakoo hujui kitu, dau kazaliwa shinyanga kijij cha isebule na wakaamia kariakoo wakati yuko darasa la 6 na akahamia magomeni kagera wakati yupo form 3.
ReplyDeleteHapo wamekosekana Juma Pondamali Mensah na Mohamed Rishard Adolf..big up wakongwe nyie ndo mlikuwa wachezaji wa ukweli..sio cku wachina kibao teehteeh.
ReplyDelete" A picture is worth a thousand words",hongera kwa waliopozi maalum kwa hii picha.Over 84% of human communication is body language, kutomosa simu wakati wa picha ya pamoja siyo busara.
ReplyDeleteDr Gangwe Bitozi
picha safi kabisa, hao woote my home boys
ReplyDeletemdau born town, kariakoo
Tatizo kubwa ni katika kuwaenzi watu kama hawa!
ReplyDeleteHuwezi amini unaweza kukuta hata kadi za Bima ya Afya hawana, hwajapatiwa pamoja na kutumika kwao ktk Soka nchini na kushiriki timu ya Taifa!