Kiungo mshambuliaji wa Manchester United Pogba akishukuru Mungu kwa kuweza kuapa bao lake la kwanza na la nne kwa timu yake ilipocheza na kuibanjua Leicester City ambao ni mabingwa watetezi bao 4-1 nyumbani kwao Old Trafford.
Kiungo mshambuliaji wa Manchester United Pogba akiogelea ndani ya dimbwi la furaha la mashabiki wa Man United.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Dah bora jamaa kafunga alirudi kuaga italy

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...