SIMU.TV: Halmashauri ya Manspaa ya Morogoro imeendesha zoezi la kubomoa vibanda vya wafanyabiashara katika soko la Manzese huku wafanyabiashara wakilalamikia zoezi hilo. https://youtu.be/j7MWjr4bPeM

SIMU.TV: Rushwa ,viwango vya kodi na usimamizi wa kodi vimeonekana kuwa changamoto inayokwamisha mazingira ya uwekezaji nchini. https://youtu.be/P--psebW9Do

SIMU.TV: Waziri wa maliasili na utalii Prof Jumanne Magembe amesema serikali bado inaongeza juhudi katika kupambana na vitendo vya ujangili nchini.https://youtu.be/FGS4T460Dqg

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Tabora ameliagiza jeshi la polisi mkoani humo kuwasaka na kuwakamata wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya mkoani humo.https://youtu.be/eycYTTVXOtM

SIMU.TV: Wadau wa maji katika mji mdogo wa Utete mkoani Pwani wamekutana  kujadili na kupitisha gharama mpya za huduma ya maji kwa wakazi wa Utete.https://youtu.be/__RQml9h-fU

SIMU.TV: Hospitali ya taasisi ya saratani ya Ocean Road ya jijini Dar es Salaam imepata msaada wa vifaa vya usafi  na vifaa tiba kutoka kwa wakadiariaji majenzi nchini.https://youtu.be/VJu_pYu28oc

SIMU.TV: Idara ya makumbusho ya taifa imeanza jitihada za kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo kandokando ya bahari ya Hindi wilayani Kilwa. https://youtu.be/SJY81aCLhlQ

SIMU.TV: Timu ya Simba imeendela kuukimbiza ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuifunga Toto African mabao matatu kwa bila leo. https://youtu.be/_I9UHFDhTwI

SIMU.TV: Mashabiki wa mpira wa miguu mkoani Mbeya wameaswa kuziunga mkono timu za jiji hilo ili ziweze kufanya vizuri. https://youtu.be/oCZS8bMJ07o

SIMU.TV: Mbio za ubingwa kwa timu ya Manchester City zimeonekana kupungua kasi baada ya kutoshana nguvu na Southampton leo kwa bao moja kwa moja.https://youtu.be/qEfE5ZC_kvQ

Timu ya Simba imeendelea kujichimbia kileleni katika kuutafuta ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuichapa Toto African Mabao matatu kwa bila.https://youtu.be/_cfoWwy6RXk  

SIMU.TV: Klabu ya Gofu ya jeshi la wananchi wa Tanzania imetamba kwa kuibuka na ushindi katika mashindano ya PWC yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.https://youtu.be/wZo4YZ02Lf0

SIMU.TV: Mkuu wa shule ya sekondari ya White lake amesema wamejipanga kujenga viwanja vya michezo yote shuleni hapo  ili kukuza michezo kwa wanafunzi.https://youtu.be/amGr0kiFmcI
SIMU.TV: Klabu ya Chelsea imeibuka na ushindi mnono wa magoli manne kwa bila dhidi ya klabu ya Manchester United. https://youtu.be/xW0iqFjcOS4

SIMU.TV: Waziri January Makamba, amewataka wananchi kupanda kwa ajili ya kuni na biashara ili kupunguza ongezeko la ukataji hovyo misitu; https://youtu.be/nLmV9AdXlbw

SIMU.TV: Watendaji wa serikali wilayani Simanjiro wameagizwa kukamata mifugo ya wafugaji wasiotaka kushiriki katika shughuli za maendeleo; https://youtu.be/1PRrGLI29WA

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, amepokea msaada wa mabati 500 na mifuko 500 ya saruji kwa ajili kufanyia ukarabati wa miundombinu ya Elimu na Afya;https://youtu.be/vausceJbByw

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Mpanda Lilian Matinga, amewataka watumishi wilayani humo kuwatumikia wananchi wao kwa kuzingatia sheria zilizopo;https://youtu.be/PpQC1c_nb74

SIMU.TV: Fuatilia mkasa wa Emmaculate Charles aliyepatwa na mkasa wa kupooza miguu na kushindwa kutimiza ndoto yake ya kuwa Daktari; https://youtu.be/XqFwdTAs5Mc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...