SIMU.TV: Halmashauri ya Manspaa ya Morogoro imeendesha zoezi la kubomoa vibanda vya wafanyabiashara katika soko la Manzese huku wafanyabiashara wakilalamikia zoezi hilo. https://youtu.be/j7MWjr4bPeM
SIMU.TV: Rushwa ,viwango vya kodi na usimamizi wa kodi vimeonekana kuwa changamoto inayokwamisha mazingira ya uwekezaji nchini. https://youtu.be/P--psebW9Do
SIMU.TV: Waziri wa maliasili na utalii Prof Jumanne Magembe amesema serikali bado inaongeza juhudi katika kupambana na vitendo vya ujangili nchini.https://youtu.be/FGS4T460Dqg
SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Tabora ameliagiza jeshi la polisi mkoani humo kuwasaka na kuwakamata wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya mkoani humo.https://youtu.be/eycYTTVXOtM
SIMU.TV: Wadau wa maji katika mji mdogo wa Utete mkoani Pwani wamekutana kujadili na kupitisha gharama mpya za huduma ya maji kwa wakazi wa Utete.https://youtu.be/__RQml9h-fU
SIMU.TV: Hospitali ya taasisi ya saratani ya Ocean Road ya jijini Dar es Salaam imepata msaada wa vifaa vya usafi na vifaa tiba kutoka kwa wakadiariaji majenzi nchini.https://youtu.be/VJu_pYu28oc
SIMU.TV: Idara ya makumbusho ya taifa imeanza jitihada za kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo kandokando ya bahari ya Hindi wilayani Kilwa. https://youtu.be/SJY81aCLhlQ
SIMU.TV: Timu ya Simba imeendela kuukimbiza ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuifunga Toto African mabao matatu kwa bila leo. https://youtu.be/_I9UHFDhTwI
SIMU.TV: Mashabiki wa mpira wa miguu mkoani Mbeya wameaswa kuziunga mkono timu za jiji hilo ili ziweze kufanya vizuri. https://youtu.be/oCZS8bMJ07o
SIMU.TV: Mbio za ubingwa kwa timu ya Manchester City zimeonekana kupungua kasi baada ya kutoshana nguvu na Southampton leo kwa bao moja kwa moja.https://youtu.be/qEfE5ZC_kvQ
Timu ya Simba imeendelea kujichimbia kileleni katika kuutafuta ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuichapa Toto African Mabao matatu kwa bila.https://youtu.be/_cfoWwy6RXk
SIMU.TV: Klabu ya Gofu ya jeshi la wananchi wa Tanzania imetamba kwa kuibuka na ushindi katika mashindano ya PWC yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.https://youtu.be/wZo4YZ02Lf0
SIMU.TV: Mkuu wa shule ya sekondari ya White lake amesema wamejipanga kujenga viwanja vya michezo yote shuleni hapo ili kukuza michezo kwa wanafunzi.https://youtu.be/amGr0kiFmcI
SIMU.TV: Klabu ya Chelsea imeibuka na ushindi mnono wa magoli manne kwa bila dhidi ya klabu ya Manchester United. https://youtu.be/xW0iqFjcOS4
SIMU.TV: Waziri January Makamba, amewataka wananchi kupanda kwa ajili ya kuni na biashara ili kupunguza ongezeko la ukataji hovyo misitu; https://youtu.be/nLmV9AdXlbw
SIMU.TV: Watendaji wa serikali wilayani Simanjiro wameagizwa kukamata mifugo ya wafugaji wasiotaka kushiriki katika shughuli za maendeleo; https://youtu.be/1PRrGLI29WA
SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, amepokea msaada wa mabati 500 na mifuko 500 ya saruji kwa ajili kufanyia ukarabati wa miundombinu ya Elimu na Afya;https://youtu.be/vausceJbByw
SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Mpanda Lilian Matinga, amewataka watumishi wilayani humo kuwatumikia wananchi wao kwa kuzingatia sheria zilizopo;https://youtu.be/PpQC1c_nb74
SIMU.TV: Fuatilia mkasa wa Emmaculate Charles aliyepatwa na mkasa wa kupooza miguu na kushindwa kutimiza ndoto yake ya kuwa Daktari; https://youtu.be/XqFwdTAs5Mc
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...