Mhe. Dkt. James Alex Msekela, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Geneva na Vienna akiwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nguvu za Nyuklia Duniani (International Atomic Energy Agency –IAEA) Bw. Yukiya Amano huko mjini Vienna leo 24 Februari, 2017
Mhe. Dkt. James Alex Msekela, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Geneva na Vienna akiwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu Ofisi za Umoja wa Mataifa Vienna Bw. Yury Fedotov leo 24 Februari, 2017
Mhe. Dkt. James Alex Msekela, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Geneva na Vienna akiwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Katibu Mkuu Shirika la Kuzuia Majaribio ya Silaha za Nyuklia Duniani (Comprehensive Nuclear Test Ban Treaty Organization-CTBTO) Bw. Lassina Zerbo leo 23 Februari, 2017
Mhe. Dkt. James Alex Msekela, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Geneva na Vienna akiwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda Duniani (United Nation Industrial Development Organization - UNIDO) Bw. LI Yong leo 23 Februari, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...