Mwakilishi wa Timu ya Wataalamu wa Afya kutoka China nchini Tanzania , Bwana Song Tao ametoa msaada wa Sh 100,000 kwa Neema Wambura (32) mkazi wa Kijiji cha Kyagata wilayani Tarime mkoani Mara ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbil. Neema amelazwa katika hospitali hiyo baada kumwagiwa uji wa moto na mume wake. Jana Rais John Pombe Magufuli alimpatia sh500,000 na kuahidi kumpatia hifadhi pamoja na watoto wake watatu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...