Meneja Mkuu Masoko, wa kampuni ya LG Electronics, Tawi la Afrika Mashariki, Moses Marji (kulia) na Ofisa wa LG, Mohamed Ibrahim, wakimvisha sare mpya ya shule, mwanafunzi, Issa Abas, mwenye ulemavu wa ngozi, albinism katika Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko jiji Dar es Salaam, jana, wakati kampuni hiyo ya LG Electronics imetoa msaada wa sare za shule kwa Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko kama sehemu ya Wajibu wa Jamii wa Kampuni kwa lengo la kusaidia watoto wenye ulemavu nchini Tanzania, kufuatia shule hiyo ya Uhuru Mchanganyiko kukabiliwa na changamoto mbalimbali katika kuwaelimisha watoto wenye ulemavu ambao wana mahitaji maalum.
Meneja Mkuu Masoko, wa kampuni ya LG Electronics, Tawi la Afrika Mashariki, Moses Marji (kulia) na Ofisa wa LG, Mohamed Ibrahim, wakimvisha sare mpya ya shule, mwanafunzi, Kelvin Joseph, mwenye ulemavu wa kutosikia, katika Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko jiji Dar es Salaam, jana, wakati kampuni hiyo ya LG Electronics imetoa msaada wa sare za shule kwa Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko kama sehemu ya Wajibu wa Jamii wa Kampuni kwa lengo la kusaidia watoto wenye ulemavu nchini Tanzania, kufuatia shule hiyo ya Uhuru Mchanganyiko kukabiliwa na changamoto mbalimbali katika kuwaelimisha watoto wenye ulemavu ambao wana mahitaji maalum.
Meneja Mkuu Masoko, wa kampuni ya LG Electronics, Tawi la Afrika Mashariki, Moses Marji (katikati mwenye kofia) , katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko jiji Dar es Salaam, jana, wakati kampuni hiyo ya LG Electronics imetoa msaada wa sare za shule kwa Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko kama sehemu ya Wajibu wa Jamii wa Kampuni kwa lengo la kusaidia watoto wenye ulemavu nchini Tanzania, kufuatia shule hiyo ya Uhuru Mchanganyiko kukabiliwa na changamoto mbalimbali katika kuwaelimisha watoto wenye ulemavu ambao wana mahitaji maalum.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...