Mbunge wa jimbo la Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji kwa kunywa maji ya mto kwa majani ya mgomba maji ambayo wapiga kura wake wa kijiji cha Madindo Mlangali wamekuwa wakiyatumia. Mbunge huyo mbali ya kuzindua pia alitoa msaada wa matenki makubwa ya maji mawili na vifaa mbali mbali juzi.(picha na Francis GodwinBlog)
Home
Unlabelled
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
REALLY? Ha! Ha! ukisepa home typhoid dose kwa poooole.
ReplyDeleteMzee Umekunywa mdudu wa "Ebola"
ReplyDeleteAcheni hizo, haya ndiyo maji yaliyomkuza, ni safi na salama kabisa kuliko yale ya chupa. Huu ndio urithi na maisha yetu.
ReplyDeletekazuga tu hajanywa
ReplyDeleteNimeipenda hiyo Deo!
ReplyDeletekichocho na magonjwa ya kuhara bado yapo, msitudanganye wacha tuchemshe maji hata ya bomba yachemshwe.
ReplyDelete