NEC yasema wapiga kura halali ni Mil.22.7, ZEC yafafanua waliofutwa daftari la kudumu la wapiga kura. fuatilia dondoo za magazeti ya leo
Magufuli asema hana mchezo, asema hawezi kuvumilia kuona wananchi wanaumizwa. Waziri Kigoda afariki dunia ; https://youtu.be/8RQRzQUH53U

Membe amvaa Lowasa,asema hana uwezo wa kuongoza. Awamwagia sifa Zitto Kabwe na Dk.Slaa.Pitia dondoo za magazeti hapa;  https://youtu.be/UNzANwKRMyg

Yanga yaiendea Azam Bagamoyo, Samata awania tuzo ya mchezaji bora. Pata udondozi wa habari kutoka magazeti ya leo. https://youtu.be/V4Z7U0-NWL0

Wagombea urais kupambana katika mdahalo Jumapili. Raisi wa Namibia aionya NEC kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa uwazi; https://youtu.be/YBMep4AeCnQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...