Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira,Luhaga Mpina akishirika kufanya usafi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Udom wakati usfi wa mazingira kitaifa iliyofanyika, Dodoma jana
Luaga Mpina akiongozana na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDOM wakati wa siku ya usafi wa Mazingira Kitaifa iliyofanyika eneo la Chuo hicho jana
Luaga Mpina akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDOM wakati siku ya usafi wa Mazingira Kitaifa iliyofanyika eneo la Chuo hicho jana
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...