Wachezaji wa Liverpool wakifurahia ushindi wao wa bao 5-1 dhidi ya Hull uwanjani kwao Anfield leo
Coutinho akilenga nyavu ndogo kuandika bao la nne kutoka mita 25
Kocha Jurgen Klopp akifurahia ushindi, ila safari hii kimyakimya...
Coutinho na Roberto Firmino wakifanya utani baada ya wote kutingisha nyavu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...