Na
Humphrey Shao, Globu ya Jamii
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCMM), umenpongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk .John Pombe Magufuli kwa kuonesha Uzalendo mkubwa alionao kwa nchi yake,baada ya kuchukua maamuzi yenye maslahi ya nchi katika sakata la zima la Makinikia.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Katibu mkuu wa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) alipokuwa akitoa salamu za pongezi za Vijana wote katika ukumbi wa CCM vIJANA kinondoni .
Shaka amesema Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi unampongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uzalendo wa hali ya juu alionao kwa Taifa mara baada ya kuchukua maamuzi yenye maslahi ya nchi katika swala zima la Makinikia.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Katibu mkuu wa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) alipokuwa akitoa salamu za pongezi za Vijana wote katika ukumbi wa CCM vIJANA kinondoni .
Shaka amesema Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi unampongeza Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uzalendo wa hali ya juu alionao kwa Taifa mara baada ya kuchukua maamuzi yenye maslahi ya nchi katika swala zima la Makinikia.
Amesema Umoja wa Vijana wa CCM unaunga mkono maamuzi yote
yaliyopitishwa au kutolewa na Rais Dk John Magufuli mara baada ya kupokea
ripoti ya Tume ya Uchunguzi
“Umoja wa Vijana wa CCM hatuko tayari na hatutakubali
kushuhudia tena Tanzania ikirejea katika zama ya kiza kinene cha
ukwapuaji mali, ulaji, kufilisi mashirika ya umma au wizi wa mali za
umma,tunaishauri serikali yetu iendelee na mikakati yake ya kuhakikisha
ukwapuaji, ubabaishaji, wizi na ufisadi wa mali za serikali vinavikomeshwa mara
moja
Kaimu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Shaka
Hamdu
Shaka (MNEC) akizungumza na Vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa
mkutano wa kumpongeza Rais John Pombe Magufuli kwa maamuzi aliyochukua.Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka (MNEC) Akiwa amebebwa juu na Vijana wa CCM
Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akiwasili katika ukumbi wa Umoja wa Vijana Kinondoni.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...